Wednesday, February 22, 2012

KUMBU KUMBU

Natangukiza shukrani za dhati kabisa kutoka moyoni!  '......PAMOJA TUTAWEZA KUFIKIA MALENGO.....'
 
 .....KUMBU KUMBU
Ni miaka 23 sasa tangu umetutoka lakini sisi kama watoto wako pamoja na baba ulietuacha huku tunaona ni kama jana tu umeondoka maana umeenda kimwili lakini kiroho bado tupo nawe, na kamwe hatutaacha kukumbuka malezi yako bora!
Tukiwa kama familia (watoto wako pamoja na mumeo (baba)) daima hatuishi kukuombea DUA njema kila kukicha upate kupumzika kwa kwa amani huko uliko.
Ni matumaini yetu mungu anasikia dua zetu MAMA
Ni sis wanao wapendwa Mariam, Hussein, Salum, Mariam Hawa pamoja na Baba yetu (mumeo) Sheikh Suleiman haatuna la zaidi ila ni dua tunakuombea
INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAAJIUN.
 
Regards:-
Salum Suleiman Lyeme (Sule Junior)
Entertainment writter (Freelance), Graphic Designer (Freelance) / Mwananch Communication Ltd
C.E.O of SULE'S Inc. & ENTERTAINMENT
+255 719 694086
+255 689 566027
+255 767 007515
www.mtotowakitaa.blogspot.com

No comments:

Post a Comment